Mbaraka mwinshehe biography graphic organizer
Mbaraka, the icon who never peaked - The Citizen
Mbaraka Mwinshehe
| Mbaraka Mwinshehe | |
|---|---|
| Taarifa za awali | |
| Jina la kuzaliwa | Mbaraka Mwinshehe Mwaruka |
| Amezaliwa | (1944-06-27)Juni 27, 1944 Morogoro, Tanzania |
| Amekufa | 12 Januari 1979 (umri 34) Mombasa, Kenya |
| Kazi yake | Mwimbaji, mtunzi, mpiga gitaa |
| Miaka ya kazi | 1950-1979 |
Mbaraka Mwinshehe Mwaruka (27 Juni1944 - 12 Januari1979) alikuwa mwanamuziki maarufu wa muziki wa dansi kutoka nchini Tanzania.
Ni mwanamuziki pekee aliyeshinda mashindano ya China miongo iliyopita akamshinda Franco.
Historia
Maisha na muziki
Mbaraka Mwinshehe Mwaruka alizaliwa mjiniMorogoro akiwa mtoto wa pili kati ya watoto 12. Baba yake Mwinshehe Mwaruka alikuwa Mluguru msomi na karani katika mashamba ya katani, na mama yake alikuwa Mngoni.
Kati ya hao kumi na wawili, ni yeye na wadogo zake Zanda na Matata ndio walikuwa wanamuziki, Zanda alikuwa mwimbaji, akiimba pia nyimbo za kizungu katika bendi ya Morogoro na Matata alikuwa mchezaji ngoma kwenye bendi hiyohiyo. Kut Morogoro Jazz Band - Wikipedia PIRU